Thursday, 18 February 2021
Tuesday, 25 February 2020
MAAJABU YA DUNIA
12:16
No comments
Nikiwa nimetembelea Mkoa wa Arusha wilayani Monduli, Nchini Tanzania ndipo ninapokutana na mzee mwenye umri wa miaka 105. Idadi ya watoto na wajukuu wa mzee huyo ni 360 na wake 33.
Huyu ni Mzee Meshuko Ole Mapi, almaarufu Mzee Laiboni.
Amelazimika kuwa na shule yake na soko kwa ajili ya jamii yake hiyo na anasema bado ana azma ya kuendelea kuoa. Watu kutoka mataifa mbali mbali hufika kumtembelea mzee huyo kama sehemu ya utalii.
Nilimuuliza idadi ya familia yake na shule aliyoanzisha na kwa sababu mzee huyo hajui lugha ya kiswahili alikuwa na mkalimani wake ambaye alimtafsiria lugha ya kiswahiliKuhusu ni vipi mzee angeweza kuhudumia familia yote hiyo licha ya umri wake alisema kwamba,wakati wa kiangazi yeye huuza ngombe na kununua mahindi
Aliongezea kuwa idadi ya ngombe alionao inakaribia 3000.
Mzee laiboni alisema kuwa wazo la ujenzi wa shule,lilijiri kwa sababu watoto wake walikua wanasoma shule ya mbali
Baadaye nilionana na mwalimu mkuu wa shule hiyo. Mwalimu huyo alisema kuwa licha ya kuwa mzee Laiboni sio mbaguzi lakini asilimia 90 ya wanafunzi wote ni watoto wake.
Monday, 24 June 2019
SJ STUDIO NA MKAKATI WA KUSAIDIA WATOTO WENYE VIPAJI VYA KUIMBA
12:03
No comments
Kipaji Kipaji ni zawadi, ni nguvu ya ndani aliyonayo binadamu, inayomwezesha kufanya shughuli zake katika uhalisia wake, na tena bila kutumia nguvu nyingi (Enearta 2005).
Tuna Mifano mingi ya watu wengi waliofanikiwa Tanzania, Afrika na duniania, si kwasababu wamesoma sana, au wamezaliwa katika familia Tajiri, lakini kwasababu ya vipaji vyao kikiwemo kipaji cha muziki au kuimba. Kuna kuimba kwaajili ya kipaji, kuna kuimba kwa kupata mafunzo (skils) na kwa wakristo kuna kuimba kwa ajili ya upako (anointing)
John Shabani na studio yake amekuwa akijitolea kuibua na kufundisha waimbaji wengi, ili kupitia vipaji vya uimbaji kwanza wamtumikie Mungu kisha iwasaidie kimapata kwamaana ya kuuza kazi zao, lakini pia kuwatengenezea platform ya kukutana na watu mbalimbali. Safari hii tumeamua kujitolea kusaidia watoto wenye vipaji vya kuimba. Mlee mtoto kimaadili, mlee mtoto kiroho, mlee mtoto kielimu lakini pia ni muhimu kumlea mtoto kivipaji. 

Kila jumamosi asubui, tunakutana na watoto pale studio, tuna wafanyia majaribio kidogo, tuna wafundisha kisha watakaokuwa vizuri wanarekodiwa nyimbo moja ya kutangazia kipaji. Hivyo mzazi,ndugu,rafiki hujachelewa..Mlete mtoto.
Lakini pia nikushirikishe kuungana nami kusaidia watoto wenye vipaji lakini wanaishi katika mazingira magumu (JOIN ME TO HELP OUR CHILDREN) Haya yamekuwa maisha yangu, kuhakikisha maisha ya watoto wetu hasa yatima na waishio katika mazingira hatarishi/magumu, walio athiriwa kisaikolojia kwa kunyanyaswa, kulawitiwa, kubakwa na kufanyiwa kila aina ya unyanyasaji wa kijinsia wanasaidika.
Nimeyafanya haya siku zangu zote, nimeyafanya haya kwa moyo wangu wote, nimeyafanya kwa kujitolea nikimshirikisha kila mwenye moyo wa kusaidia, nimeyafanya kwa kupitia taasisi na mashirika mbalimbali, nimeyafanya kwasababu namimi nilikulia na kulelewa katika mazingira hayo.
Nimekuwa nikiwafundisha Neno la Mungu ili wajue kumtegemea Mungu, kutokuwa na visasi, kusamehe na kumpenda kila mtu, ninaibua vipaji na kuviendeleza, natafuta namna yoyote ya watoto hao kupata elimu bora, wasio na chakula au mavazi tunatafuta namna ya kuwasaidia.
KARIBU TUSHIRIKIANE
Monday, 25 February 2019
CHAIRPERSON OF MISSION TO THE NEEDY FOUNDATION DR. GERTRUDE RWAKATARE HAS RELEASED 78 PRISONERS
21:48
No comments
Founder and Chairperson of Mission to the Needy Foundation, Dr. Gertrude Rwakatare, volunteered to pay 78 prisoners in three prisons in Dar es Salaam and be released after paying 25 million shillings equivalent to 10 thousand dollars . The activity was held last year under the spiritual leader who had been accompanied by his staff who started in Keko prison and later towards Ukonga and Segerea. He is now volunteering to finance 50 prisoners in DODOMA prisons, including breastfeeding women, elderly and children.

Speaking to journalists, Dr. Rwakatare said he has given that small amount of money and minor offenses so that they can return to their homeland and build a nation.
"I am in Keko prison where I am happy to release prisoners who have been arrested here for various reasons. Some have failed to finance 40,000 shillings, some have failed to finance 50 thousand, "he said. “I’m very passionate with my community, I have been touched, it is impossible to stop what we are able to do. so in this prison we have paid for them and have been set free, and I have told them to be good citizen, because the prison not a hotel, or somewhere to go outing.
Let us join together to support this vision
Saturday, 17 November 2018
KWA WAZAZI/WALEZI NA WAZAZI WATARAJIWA ZINGATIA HAYA MAMBO 10 MUHIMU KWA MALEZI BORA YA MTOTO
23:21
No comments
1.Mkanye Mtoto Wako wa Kike Hata Wakiume,Kuusu Kupakatwa Ovyo bila Kujali ni nani Anampakata,Hata Kama Ni Mjomba wake.
2.Usivue Nguo Mbele ya Mwanao Pindi Akifikisha Miaka Miwili Au zaidi,Mwambie Akupishe Uvue Nguo.
3.Usiruhusu Mtu Yeyote Amuite Mwanao"Mchumba,Mke wangu au Mme wangu"
4.Mwanao Akienda Kucheza Akikisha Anacheza nini,Siku Hizi Watoto Wanacheza Michezo Michafu na Watoto wengine Wanamaambukizi.
6.Nakushauri Pitia Muvie Yeyote Kabla Mtoto Kuaangalia ili Uchague Yenye Maadili Mazuri.
7.Mtoto Anapofikisha Umri wa Miaka Mitatu,Anza kumfundisha kusafisha Mwenyewe sehemu zake za Siri,Na Umkataze Kabisa Mtu Kushika Sehemu Hizo.
8.Mfundishe Mtoto Kumcha Mungu na Sio Kufata Mkumbo.
9.Mtoto Akilalamika Kuusu Mtu Flani,Usipuuze Fanya Uchunguzi.
10.Usipende Kumruhusu Mwanao kulala na Housegirl au Houseboy Au mgeni,Baadhi Yao Sio Waaminifu,Huwezi Jua Tabia Za watu na watakachokitenda Usiku.
Comment & Share Tafadhali
Mungu Akupe Familia Bora
#johnshabani
www.singleparentchildren.blogspot.com
Saturday, 3 November 2018
JOHN SHABANI ASHIRIKI CHAKULA CHA UPENDO NA WATOTO YATIMA KUTOKA CHAKUWAMA
22:36
No comments
Nasema asante kwa MAKAO YA KULEA WATOTO YATIMA ( CHAKUWAMA)
Nimejisikia raha kuwahudumia, tumekuwa na wakati mzuri wa kula na kunywa pamoja.
Lakini pia nimshukuru Mtumishi wa Mungu Mgisa Mtebe kwa kushiriki lakini pia kutoa ujumbe maalum katika tukio hilo. Mwisho pongezi za pekee zimwendee rafiki yangu Edson mhasisi wa "WORLD DOMINION INTERNATIONAL MINISTRIES" kutoka South Africa kwa kujitoa pamoja na marafiki wote mliohudhuri tukio hili la chakula cha upendo.
Mathayo 7:12
Unapokuwa na afya, unapokuwa na uzima, unapokula na kulala vizuri, unapopanga bajeti ya kuwapeleka watoto international schools, unapofanikiwa, kumbuka wapo wengine katika jamii hawana hata matumaini ya kesho, kumbuka wapo yatima, wajane, wazee na watu wenye ulemavu wanaotuitaji. Tuwatembelee, tuwasaidie.
Wednesday, 17 October 2018
Friday, 26 January 2018
THIS IS MY VISION, THIS IS MY CALL...
23:21
No comments
This kids, this orphans, this street children need your help.
Together we can bring hope to them.
This is my vision, this is my call, It’s
something I have now become very passionate about and would like to do all I
can to help. To bring hope to the Orphans, street children, widows and
disadvantages people.
Hey
guys, what u do making someone rejoicing?
Let
us join together to bring hope..
Friday, 30 October 2015
NATIONAL SINGLE PARENT DAY - USA
08:28
1 comment
Single
Parents' Day takes place each year on March 21st to honor the hard work single
parents do in raising their children.
Single Parents' Day began back in
1984 with an article written by Janice Moglen, a divorced mother of two who
hoped that Single Parents' Day might one day gain the recognition many
associate with both Mother's Day and Father's Day. In collaboration with the
organization Parents
Without Partners, Moglen began to petition
individual states to declare their own recognition of Single Parents' Day.
Single Parents' Day is an
opportunity to recognize the efforts both parents make to provide for their
children’s needs, collaborate with one another, and maintain a stable home
environment where the children can thrive. It is also an opportunity for single
parents themselves to celebrate their efforts and achievements.
Single Parents should take some time
and celebrate what they are overcoming and doing. Possibly even call and
encourage another single parent family as well. Single Parent Families are
strong overcomers and very resourceful. Many daily achievements seem like
mountains to others. Give yourself a pat on the back!!!
Single Parents' Day is also an
opportunity to raise awareness about the determination and strength shown by
the more than 14 million single parents who are raising children in the U.S.
today. Many single parents work to raise their kids
and give them the same opportunities as those from dual family units.
While there is great joy in raising children, it is also a lot to bear all on
your own.
Since its inception, both national
and state proclamations in support of Single Parents' Day have been sporadic.
You can play a role in changing that trend by requesting that both local and
national leaders issue a proclamation in support of Single Parents' Day this
March 21.
Children of single
parents should call their mom or dad on Single Parents' Day and thank them for
their love, commitment, and hard work. Just give them a little recognition and
appreciation.
Monday, 5 October 2015
PROBLEM FACING SINGLE PARENT FAMILIES
15:17
No comments
SOME STATISTICS IN SINGLE
PARENT CHILDREN
I a way to learn how big
the problems of singles parent families are;
Single mothers and
fathers have much higher likelihood to live in poverty, as they face incredible
work/life balance issues. Single Parent Families have unique needs and issues
constantly affecting their inability to overcome ruin. The emotional and
financial toll on most of these families is actually helping to create an even
younger population of single parents who are just children themselves.
However, those technically in the “middle class” are
often not eligible for assistance as they don’t qualify as poor. Right now, no
one serves those in this “gap”. Single parent families have to deal with
financial constraints, hectic daily schedules, legal issues, depression,
disability, fear of failure and loneliness.
For my research, I come to realized that, children
from single parent families are more prone
to suicide, teen pregnancy, behavioral disorders, criminal activity and school
avoidance. They also suffer from parental
tension, abandonment, effects of moving, fear of change and losing attachment
to their parents.
To help single parent families navigate through
life, SPCF, a non-profit organization, aims to provide access to information
and resources, and create online and offline programs. Single Parent Children
Foundation hosts a resource directory, a social platform, and serves as an
advocate in private, public and the non-profit sector for single parents. The
information, resources, and social platform equips and empowers single parent
families and helps them do more than they could alone. The three keywords for
SPCF are Help, Heal, and Hope.
SPCF is committed to
breaking this cycle and to help build resource connections for families that
help them to become more productive, more resourceful and more informed on how
to be the best parent they can be for their children. We have vulnerable single
parent children in many areas in Tanzania and some parts of East Africa.
We focus to continue
making a profound difference in the lives of single parent children and their
families in the years to come.
You can be part and friend of SPCF
by donate anything you can.
Contact us:
Mob: +255 713 778 778/ +255 754 818
767
Facebook: Single parent children
foundation






































