Tuesday, 3 February 2015
JOHN SHABANI NA WANA HARAKATI MBALIMBALI WA HAKI ZA BINADMU WATETEA HAKI ZA MWANAMKE
15:36
No comments
Katika kuendeleza mkakati wa kutetea haki za wanawake, mwanaharakati wa haki za binadamu, John Shabani, akishirikiana na marafiki mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi, waliamua kumtia moyo mwanamama Lightness Bayo. Bi Lightness Bayo, akmekuwa na mzigo mkubwa wa kuwasaidia wanawake na mabinti waliotelekezwa baada ya kupewa ujauzito
Baada ya kuguswa na mambo anayofanya...